
Alipotafutwa meneja uwanjani hapo kuzungumzia hali hiyo hakutoa ushirikiano baada ya kumpaki muandishio habari kwamba atarudi baada ya kuingia ndani ikawa vigumu kutoka na tulipojaribu kuingia ndani dada mmoja mhudumu anayeonekana picha ya chini alikataa akisema kuwa Meneja huyo asubiriwe nje.
Dada anayehudumu kwenye uwanja wa ndege Bukoba.
No comments:
Post a Comment