Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Thursday, 11 October 2012
MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA MIONGONI MWA WALIOUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UGANDA
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gaharib Bilal (kulia)
akibadilishana mawazo na Rais Yoweri Museveni wa Uganda wakati wa kilele cha
maadhimisho ya Miaka 50 yaUhuru wa Uganda. Sherehe hizo zimefanyika jana katika
Uwanja wa Kololo jijini Kampala. Wanaoonekana nyuma yao ni wake zao, Bibi
Janneth Museveni (kulia) na Mama Zakia Bilal.
Picha na Amour Nassor
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment