MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 19 October 2012

RWANDA MWANACHAMA WA UMOJA WA MATAIFA

Rwanda imechaguliwa kuwa mwanachama wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa miaka miwili ijayo
Kura hiyo inakuja siku moja baada ya ripoti ya Umoja wa mataifa kufichuliwa ikisema kuwa nchi hiyo inaunga mkono waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Nchi zitakazoshikilia nafasi tano zisizo za kudumu katika baraza hilo lenye wanachama kumi na tano, ziliamuliwa na umoja wa mataifa hapo jana.
Argentina, Australia, Korea Kusini na Luxembourg pia wameteuliwa kuketi kwenye baraza hilo.

No comments: