Rwanda imechaguliwa kuwa mwanachama wa baraza la usalama la Umoja
wa Mataifa kwa miaka miwili ijayo
Kura hiyo inakuja siku moja baada ya
ripoti ya Umoja wa mataifa kufichuliwa ikisema kuwa nchi hiyo inaunga mkono
waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Nchi zitakazoshikilia nafasi tano
zisizo za kudumu katika baraza hilo lenye wanachama kumi na tano, ziliamuliwa
na umoja wa mataifa hapo jana.
Argentina, Australia, Korea Kusini
na Luxembourg pia wameteuliwa kuketi kwenye baraza hilo.
No comments:
Post a Comment