MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 12 October 2012

UZINDUZI WA BECAUSE I M A GIRL- UKUMBI WA KALIMJEE DAR ES SALAAM

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu leo amezindua Kampeni ya ” Because I Am A Girl” inayolenga kujenga mazingira yasiyokuwa na unyanyasaji wa Kijinsia kwa wasichana wote ndani na nje ya Shule,uzinduzi huo  umeratibiwa na Shirika la Kimataifa la Plan International Tanzania  na kufanyika katika Ukumbi wa Kalimjee.
Pichani juu ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na baadhi ya Wanafunzi na Watendaji wa Plan na Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto mara baada ya Uzinduzi, na chini ni mwanafunzi mmoja akiuliza swali kuhusu unyanyasaji wa kijinsia hasa kwa watoto wa kike.

No comments: