
Redio zilizoshirikishwa ni Kasibante fm ya Bukoba, Kwizera ya Ngara, Afya ya jijini Mwanza, Sengerema ya Sengerema, na Redio Faraja KUTOKA Shinyanga.
Hata hivyo wawezeshaji JOSEPHINE LEMOYA, AYETA ANNE WANGUSA, PRATISH CHORAN-KPMG na CONSOLATA TEMU- SNV, wametoa changamoto ya washiriki kueleza walichokipata na watakachofanyia kazi, ikiwemo ushirkishaji jamii katika matumizi ya maji.
No comments:
Post a Comment