MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 15 November 2012

DRC inataka UN kuadhibu Rwanda

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuichukulia hatua Rwanda, kwa madai ya kusaidia waasi nchini Congo badala ya kumfuatilia mtu mmoja kama vile kanali Sultani Makenga.
Waziri wa habari wa serikali ya Congo amesema hayo siku moja baada ya Umoja wa Mataifa na Marekani kutangaza vikwazo dhidi ya kiongozi wa waasi wa M23, Jenerali Makenga, vikiwemo vya usafiri na kukamata mali yake.

No comments: