Kifo cha askofu ALOYSIUS BALINA wa jimbo katoliki la
shinyanga kilichotokea leo siku ya jumanne majira ya saa tano za asubuhi katika
Hospitali ya Rufaa ya Bugando mkoani Mwanza alikokuwa amelazwa kwa matibabu na
kimethibitishwa pia na Mkurugenzi wa habari wa jimbo kuu la Mwanza padre
CHRISTOPHER KUBEJA pamoja na tanzia ya jopo la mapadri washauri wa jimbo la
shinyanga.
Padri KUBEJA amesema kuwa mipango ya mazishi
inafanyika jimboni shinyanga na kuwataka waumini wa kanisa hilo kuwa watulivu.

No comments:
Post a Comment