MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 6 November 2012

UPELE WAPATA MKUNAJI SASA, RWANDA MH!!!!

Rwanda imetuhumu wanajeshi kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kufanya uchokozi baada ya kundi moja kuvuka mpaka. 

Hali iliyosababisha makabiliano katika eneo tete la mpakani kati ya nchi hizo mbili. .
Mmoja wa wanajeshi wa Congo alipigwa risasi wakati mmoja wa Rwanda alijeruhiwa katika ufyatulianaji wa risasi. Tarrifa hii ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi.

Msemaji wa jeshi la DRC alidokeza kuwa makabiliano yalikuja baada ya wanajeshi wa DRC kuvuka mpaka kununua vileoMWANA HARAKATI

No comments: