Katika kijiji cha Babu anakochimbuka Rais Barack Obama nchini Kenya, amejitokeza Mpiga lamri au mganga wa kienyeji aliyejulkana
kama John Dimo na kurusha magamba ya
konokono na simbi, mifupa na vitu vingine ka tunguli akibashiri ushindi wa
Obama.
Wakai wapiga kura wanafanya tathmini kutumia teknolojia ya kisasa, Dimo anatumia tunguli. Obama anazaliwa na baba mweusi kutoka Kenya, na mama mzungu kutoka Kansas na ana ndugu watano nusu-kaka na nusu-dada.
Nusu-ndugu ambaye ni Malik Obama alisema Jumapili kuwa familia inaona hakuna sababu kwanini Obama hasichaguliwe kwa muhula wa pili.
Alikuwa akizungumza wakati wa mashindano ya michezo ya kila mwaka kwa heshima ya baba yao marehemu, Sr Barack Obama.
No comments:
Post a Comment