MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 17 December 2012

BAADHI YA WANANCHI WAJIFANYA OMBA OMBA KWA MBUNGE

Ni wananchi wa Bukoba vijijini ambapo mbunge wa jimbo la Bukoba vijijini JASON RWEIKIZA alitembelea wananchi wake, lakini wakati akiwa ndani ya gari lake baadhi ya wananchi walienda kumwomba msaada binafsi, jambo ambalo limeonekana kama ni maozea, Je tutafika?
MWANA HARAKATI

No comments: