MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 19 December 2012

MWALIMU ALIYETUHUMIWA KWA UCHAWI BUKOBA ASEMA NI MASUALA YA KIFAMILIA

Ni baada ya kupeleka malalamiko katika chama cha waandishi wa habari mkoa, huku akilaumu vyombo vya habari vilivyoandika na kutangaza taarifa zake lakini akiomba msaada wa jinsi gani vyombo hivyo vitumike kutangaza maelezo yake anayodai kuwa ndiyo sahihi.
Mwalimu huyo anafundisha katika shule ya Kashai mjini Bukoba, ambapo anasema yeye hakuwahi kutunza msukule ila siku polisi wanakuja nyumbani kwake kuliwapo na mtoto wa nduguyake aliyemtaja kama GLORY, lakini akasema kuwa alipotea mwaka 2007 na baada ya kupatikana alikutwa aongei hivyo.

No comments: