MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 12 December 2012

SIKILIZA MKUU WA WILAYA BUKOBA ZIPORA PANGANI NA DIWANI KATA KASHAI WAKIWASIHI WANANCHI WATAWANAYIKE

Baada ya polisi kulazimisha mama huyo alionesha chumba hicho na watoto wakachukuliwa.
Kamanda wa polisi msaidizi Richard Ngole, amewasihi naye amewasihi wananchi kuwa na subira huku akisema kuwa maelezo yaawali  yanasema watoto wanaosadikiwa kuwa mzukule mmoja alizaliwa akiwa na upungufu wa akili, isipokuwa hadi hali hiyo inafikia hatua hiyo, ni baada ya shangazi wa watoto hao na baba mdogo kutoka muleba wakija kuwachukuwa watoto hao ambao hata ivyo ilisemekana walipotea lakini mtuhumiwa alikuwa akiwakatalia huku akiwa amewafungia katika chumba kimoja nyumbani kwake.



MWANA HARAKATI

No comments: