MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 5 January 2013

MKUTANO WA VIONGOZI SUDAN WAFANYIKA

Ni viongozi wa kutoka Sudan na Sudan kusini ambao wamekutana Ijumaa(04.Jan.2013)

Lengo ni kuondoa hali ya wasi wasi ambayo imetanda tangu kusini kujitenga mwaka 2011 na kuanza usafirishaji mafuta ili kukwamua uchumi wa nchi hizo unaodidimia.

Hakuna taarifa zaidi zilizojitokeza wakati rais wa Sudan Omar al-Bashir na Salva Kiir wa Sudan ya kusini walipokutana pamoja na waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn, ambaye anajaribu kufanya upatanishi kati ya nchi hizo jirani ambazo zilikaribia kupigana vita mwezi wa Aprili.

Viongozi wote hao wawili watakutana kwa mara ya kwanza peke yao katika mkutano utakaofanyika hii leo Jumamosi (05.01.2013), limeeleza shirika la habari la Sudan SUNA.

Taarifa hii ni kwa hisani DW.

No comments: