MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday 26 February 2013

Mdahalo wa mwisho wa wagombea Kenya

Mdahalo huo umefanyika jana usiku wa kuamkia leo, ambapo wagombea wanane kutoka vyama mbalimbali wamejibu hoja mbalimbali, lakini kubwa zaidi mfumo uliotumika ni ulio tumika awali wa kuuliza swali katika kila kitengo ambapo nifrahi zaidi katika swali lililoelekezwa kwenye upande wa sekta ya ardhi na wagombea wakajibu kila mtu na swali lake.
Laira Odinga, yeye amesema ardhi iliyopo inatosha kwa shughuli za raia wake ila siyo ya ziada, na sheria ya nchi hiyo ikowazi kwa kila mwananchi kutumia ardhi kwa shudhuli za kiuchumi.

Upande wake Uhuru Kenyata, amesema kuwa katiba ya sasa haijawa wazi katika suala la ardhi hivyo inabidi kuweka mipango thabiti, lakini Mgombea ambaye anafahamika kama Dida, yeye amesema akiwa rais jambo la kwanza ataelimisha wananchi kuhusu umilikaji wa ardhi kwani wananchi wanakosa elimu hiyo.

No comments: