MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 18 February 2013

MKURUGENZI WA KADETFU AMEKABIDHI VITABU 21 KWA NYUMBA YA KUMBUKUMBU MKOANI KAGERA

Akikabidhi vitabu hivyo 21 kwenye Museum ya mkoa wa Kagera, mkurugenzi huyo Bwana YUSTO MCHURUZA, amesema kuwa ni vema wadau na mashirika yenye uwezo wa kuwafikia waliowengi na kutoa mafunzo kwao, ili kusaidia kueneza uelewa kwa wananchi, pamoja na kuhakikisha maliasili zinatunzwa kwa misingi inayotakiwa.

 Vitabu hivyo 21 vimetolewa na Marehemu KLAUS GOTCHLING wa nchini Ujerumani kwa ajili ya wananchi wa afrika hasa wana Kagera, kutokana na yeye kuishi nchini Tanzania na kufanya research mbalimbali za mambo ya kiafrika hasa kuhusu mkoa wa Kagera. PICHA CHINI NI MKURUGENZI WA KADETFU na MENEJA WA KAMPUNI YA UTALII YA KIROYERA Wiliam Rutta.
 Picha chini ni Wiliam Rutta akitoa ufafanuzi wa mojawapo wa kitabu miongoni mwa vile 21 vilivyotolewa kwa ajili ya makumbusho hayo.
 Ni picha ya marehemu KLAUS GOTCHLING, wakati wa uhai wake.

 Picha juu ni baadhi ya nyumba za mfano zinazopatikana mkoani Kagera, na chini ni moja ya kifaa cha muziki chenye kutumia "SANTURI" ambacho wakati huo kilikuwa katika mtindo uliofahamika kama wa kisasa.
MWANA HARAKATI

No comments: