MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 27 February 2013

PAPA BENEDICT 16 AFANYA MHADHALA WA MWISHO KATIKA UONGOZI WAKE

Wkati wa kuwaanga maelfu ya waumi hao, amewabusu watoto wawili waliokuwa karibu na njia aliyozungukia kwenye gari maalumu.

Mapema mwezi huu, papa Benedict wa 16, alitangaza kujiuzulu nafasi hiyo kutokana na umri kuwa mkubwa pamoja na matatizo ya kiafya ambapo kesho FEB 28 2013, ndiyo siku ya mwisho katika utawala wake.

No comments: