
Mazishi
hayo yamefanyika mchana huu katika Msikiti wa Mwembeshauri mjini Zanzibar. Bi Kidude
anatarajia kuzikwa mchana huu kijijini kwao Kitumba Wilaya ya Kati, Unguja.
Waumini wa
dini ya Kiislamu wakibeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Fatma Baraka 'Bi
Kidude'(picha ndogo juu kushoto), wakati wakiingiza jeneza hilo Msikiti wa Mwembeshauri, kwa ajili ya
kuswaliwa kabla ya kuelekea kijijini kwa marehemu, Kitumba Wilaya ya Kati kwa
maziko, mchana huu.
No comments:
Post a Comment