
Askofu Rwoma, amesisitiza kuwa na maadili kwa wanafunzi hao na kusisitiza kuwa wasijiingize kwenye migogoro ya maandamano, kwasababu baada ya kuhitimu kwao, ni njia mojawapo ya kujipatia nafasi ya utekelezaji na kujishika katika wito wa kazi zao walizosomea, kulinganisha na changamoto zinazoikabili nchi kwa sasa.
No comments:
Post a Comment