MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 19 May 2013

MCHUNGAJI MSIGWA; MBUNGE IRINGA MJINI AKAMATWA NA POLISI JUU YA MACHINGA KURUDISHWA WALIPOONDOLEWA.





Yamepigwa mabomu ya machozi baada ya Msigwa kufika eneo walipokuwa wafanyabiashara hao, na kuanza kusukuma gari lake, lakini mwanzoni walimlinda na polisi wakapata wakati mgumu kumkamata.  

Ikumbukwe kuwa hawa wamachinga wamepewa eneo maalumu la kufanyia biashara zao la Kitanzini na Mlandege, kwa sababu hapo wanapotaka kufanyia biashara sasa ni padogo na ni kero kwa wanachi kwani ni stendi kuu ya mabasi na pia kuna zile mashine kubwa tatu za kukoboa mpunga ambazo huwa zinajaa watu wengi na pia ni barabara ambayo ina muingiliano mkubwa.



MWANA HARAKATI

No comments: