MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 26 July 2013

RAIS KIKWETE AZINDUA BARABARA YA KAGOMA RUSAUNGA MKOANI KAGERA

 Pamoja na uzinduzi huo, mh rais amesema kuwa serikali ina mpango wa kuanza msako mkali kwa majambazi yanayoteka magari na uvamizi mbalimbali, kuwa wanaomiliki silaha wazisalimishe ndani ya wiki mbili baada ya hapo majeshi yote nchini yanaanza msako na wanawahusika hawatakamatwa mateka.
 Juu ndiyo barabara iliyofunguliwa,

 Rais pia amepanda mti katika eneo la uzinduzi huliofanyika kwenye njia panda wilayani biharamulo.

 Mawaziri walioongoza na rais pia wameshiriki kupanda mti
 Kamanda wa polisi mkoanNI Kagera PHILIP KALANGI, akifuatilia ulinzi na usalama wakati wa uzinduzi na hotuba ya rais wilayani Biharamulo, na chini ni waziri wa ujenzi Dk Pombe magufuli akipinga ngoma ya Nyamigogo.
MWANA HARAKATI

No comments: