MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 19 July 2013

SHIRIKA LINALOJISHUGHULISHA NA ELIMU YA UPATIKANAJI WA MAJI SALAMA SNV, LIMEPOKEA RIPOT YA WAANDISHI HABARI KUTOKA REDIO ZA KANDA YA ZIWA KUHUSU MRADI WA ELIMU YA MAJI KWA MWAKA MMOJA.

 Picha juu wa kwanza kushoto ni Mwanafunzi kutoka SAUT yupo SNV kwa field ya miezi3, wapili nyuma ni CONSOLATA TEM, cordinator SNV, wa tatu ni mwanahabari Mac Ngaiza kutoka Kasibante fm redio Bukoba, wa nne ni AYETA ambaye ni cordinator pia katika miradi ya SNV na amejikita katika ushauri kihabari, na mwisho ni mwanahabari kutoka redio FARAJA Shinyanga.
 Aliyesimama ni Projestus Binamungu wa Kasibante fm, akiwasilisha mada kwenye kikao cha wanahabari na SNV.
Mwanaharakati Nicolaus Mac Ngaiza ambaye pia ni mmiliki wa Blog hii, akiwa kwenye kivuko kimoja Busisi kwenye safari kuelekea Mwanza.
MWANA HARAKATI

No comments: