MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 22 July 2013

SHULE YA SEMINARI YA KIISLAMU QDUS MJINI BUKOBA, YAFANYA HARAMBEE KUCHANGIA UJENZI WA BWENI NA MIUNDOMBINU MINGINE.

 Mbuh. Kagasheki amechangia sh milioni 5 na zingine 5 amewapa siku mbili lakini zilizosalia ili kukamilisha mil 23 za bweni, ambapo harambe imechangisha trip za mawe na sementi kutoka kwa wadau mbalimbali kutokana Kasibnte fm kurusha harambee hiyo iliyokuwa ikiendeshwa na waziri live. 
 Mgeni rasmi akisaini kitabu cha maudhurio.
 Mezani ni mil 5 alizotoa mbunge, huku akiendelea kuwata wadau mbalimbali walichangia kwa ahadi na cash.
 Haya ni baadhi ya majengo ya shule hiyo yenye wanafunzi 307 na walimu 26 ambao ni awali hadi drs la saba.

 Ni baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo wakisikiliza kwa makini mazungumzo ya waziri Kagasheki.
MWANA HARAKATI

No comments: