MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 22 July 2013

JE RAIS KIKWETE ATAJIBU AU KUTEGUA KITENDAWILI CHA VIFO VISIVYOJULIKANA WILAYANI MULEBA?

 Mahojiano yangu mbalimbali usiku na mchana kujua hali hiyo ikoje, yamenifanya kugundua kuwa katika kata ya muhutwe wananchi wameshaamua kujifungia mapema kabla ya saa moja jioni wakihofia kutekwa.
 Kuhusu walichozungumza wananchi, wenyeviti wa kata na vijiji, kamanda wa polisi na mkuu wa wilaya ikibidi na mkuu wa mkoa wa Kagera, fuatailia vipindi vya redio Kasibante 88.5 MHz kupitia mboni ya jicho kila ijumaa 21:30 ni muda wa usiku na marudio jumapili saa 1 kamili jioni.
Pichani ni baadhi ya wananchi wakiwamo wenyeviti wa vijiji mbalimbali kwenye kata ua Muhutwe wilayani Muleba wakizungumza nami.
MWANA HARAKATI

No comments: