MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday 23 July 2013

MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA YAMEKAMILIKA VIWANJA VYA MASHUJAA KAMBINI KABOYA MKOANI KAGERA.

 Ni kikosi cha askari wa JWTZ kikitoka uwanjani baada ya kuigiza mapokezi na salamu ya rais ili kujiweka sawa.

 Makaburi ya walipolala makamanda waliopigania nchi na hapa chini ni upande wa makamanda wa Kikristo kama kibao kinavyoeleza.

 Ukaguzi wa rais ukiigizwa na viongozi waliokuwa katika viwanja hivyo kama wanavyotembezwa na uongozi kwa kutoa ufafanuzi kwa kiongozi.

 Baadhi ya magari yaliyofanya kazi wakati huo na sasa yamesalia kama magofu ila ni kionesho tosha.
 China unaona masalia ya magari, vifaru na bomu vilivyotumika enzi hizo.

 Ni viongozi mbalimbali wa kijeshi na dini akionekana kamanda wa polisi mkoa PHILP KALANGI.
MWANA HARAKATI

No comments: