MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday 23 July 2013

UGANDA IMEWEKA UTARATIBU WA MACHINGA KUVAA SARE

 Ni kwa wafanyabiashara ndogondogo wanaouza vitu vidogovidogo kwa abiria kwenye stendi mbalimbali za magari.

 Hapa ni katikati ya jiji la KAMPALA, lilipomulikwa na kamera ya kandayaziwaleo ilipotembelea maeneo hayo.
 Wakati waganda wanaoonekana wakiuza ndizi, mishikaki na soda wakiwa na sare zao kwa mujibu wa utaratibu, Tanzania wao wanauza maziwa, karanga nk bila hata kuwa katika hali ya kuvutia wateja.



MWANA HARAKATI

No comments: