MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 24 July 2013

RAIS KIKWETE AMEWEKA JIWE LA MSINGI KWEYE UWANJA WA NDEGE WA BUKOBA.

 Ris akivishwa bendera ya skauti
 Hii ni sehemu ya uwanja wa ndege wa Bukoba.
 Rais Kikwete akihutubia wananchi uwanjani hapo
 Mheshimiwa Kikwete akipewa taarifa na kusomewa ramani na mtaalamu wa ujenzi wa uwanja wa ndege
 Rais Kikwete akielekea kufungua pazia ya jiwe la msingi baada ya kukata utepe.
 Mheshimiwa Rais akisalimiana na baba Askofu Kilaini alipowasili uwanjani hapo
 Waziri wa maliasili na utalii Balozi Kagasheki, akibadilishana mawazo na waziri wa uchukuzi Arison Mwakeyembe na chini rais akihutubia wananchi baada ya kuzindua jengo la cha acha ushirika Kagera KCU.
 Chini ni picha ya pamoja na viongozi wa ushirika nyuma jengo hilo lililozinduliwa linaonekana kwa mbali.
MWANA HARAKATI

No comments: