MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 18 August 2013

FAINALI KOMBE LA KAGASHEKI BUKOBA, BILELE YAIBUKA BINGWA

Timu 14 za kata zote manispaa ya Bukoba zimeweania ushindi huo lakini hatimaye limenyakuliwa na kilometa 0, mshindi wa pili ambaye ametolewa na Bilele, ni Rwamishenye iliyojinyakulia milioni3 kwa bao 4-3 za Penati, baada ya kumalizika muda wa nyongeza dk 30.

Mshindi wa 3 imechukuliwa na timu ya Kitendaguro almaarufu Makhirikhiri, ambao wamejinyakulia milioni 1.5 baada ya kuitoa Kashai kwa bao 3-1.

Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Balozi Hamisi Kagasheki, ameahidi kuendeleza mashindano hayo kila mwaka, huku akiwashukuru wanajimbo waliotoa ushirikiano wao kuhakikisha timu zinafika uwanjani na kushiriki.
MWANA HARAKATI

No comments: