MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 4 August 2013

RAIS ROBERT MUGABE ASHINDA KUONGOZA KWA MUHULA WA SABA

Inamaanisha ZANU-PF ina viti vya kutosha kuweza kubadilisha katiba.
Mpinzani mkuu wa ZANU-PF, chama cha MDC, kimekuwa na kikao kuamua mikakati ya siku za usoni.
MDC inasema haitakubali matokeo ya uchaguzi kwa sababu ya udanganyifu mkubwa katika upigaji kura.
MWANA HARAKATI

No comments: