MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 22 November 2013

JIJI LA MWANZA KUPOKEA GARI LA ZIMAMOTO

 Msaada kutoka jijini Tampere.
Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula (kushoto) akikata utepe kwa kushirikiana na Bi. Kaisn Anttoncn ambaye ni Director Chair of PST wa jiji la Tampere.
Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akikagua ubora wa gari hilo toka katika uskani huku akiwa na Bi. Kaisn Anttoncn ambaye ni Director Chair of PST wa jiji la Tampere. Thamani ya gari hili ni zaidi ya shilingi millioni 500 za Tanzania.
Mstahihi Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akimkabidhi funguo Kaimu kamanda wa kikosi cha Zimamoto mkoa wa Mwanza Christon Mamyologa mara baada ya kupokea msaada huo toka jiji rafiki la Tampere toka nchini Finland.
MWANA HARAKATI

No comments: