MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 16 December 2013

MAZISHI YA MANDELA NDIYO HAYA

 Hatua za mwisho zaidi haizwekwa wazi kwa wote walioudhuria, bali wachache katika viongozi wa familia na rais wa sasa wa taifa hilo JACOB ZUMA. Chini ni ndege zilizokuwa zikizunguka na kupeperusha bendera ya nchi hiyo wakati wote wa mazishi.
 Ni banda rsmi lililotumika wakati wanafamilia wakifatilia mazishi ya Mandela wakati wanajeshi wa ngazi za juu wakifata taratibu zote za heshima.
MWANA HARAKATI

No comments: