MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 6 December 2013

MJUE NELSON ROLIHLAHLA MANDELA

Nelson Rolihlahla Mandela alikuwa mwanamapinduzi na mpigania haki wa South African na mwanasiasa aliyehudumu kama rais kuanzia 1994 hadi 1999. 
  • Alizaliwa: July 18, 1918, Mvezo, South Africa
  • Amefariki: December 5, 2013, Johannesburg, South Africa
  • Ndoa: Graça Machel (m. 1998)Winnie Madikizela-Mandela (m. 1958–1996)Evelyn Mase (m. 1944–1958)
  • Watoto: Makaziwe MandelaZenani Mandelana zaidi
  • Tuzo: Nobel Peace PrizeBharat Ratnana zaidi
  •  Picha chini ni gereza alikokuwa amefungwa mandela katika kisiwa cha Roben
     Baada ya kutoka gerezani mandela hakuonesha kinyongo kwa wazungu.
    MWANA HARAKATI

    No comments: