MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 19 January 2014

Mtangazaji wa BBC Komla Dumor amefariki dunia.


Alikuwa na umri wa miaka 41, Mtangazaji Televisheni ya BBC Focus on Africa, Komla Dumor anaripotiwa kufariki dunia ghafla akiwa nyumbani kwake mjini London nchini Uingereza.

Alijiunga na BBC mwaka 2007 baada ya kipindi kirefu akifanya kazi ya utangazaji nyumbani kwao nchini Ghana, amepata kuendesha kipindi cha Focus on Africa, ameshawafanikiwa kuwahoji watu maarufu kama Bill Clinton na mjukuu wa Nelson Mandela, Ndaba Mandela.

MWANA HARAKATI

No comments: