MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 19 January 2014

RAIS ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI


Akitangaza baraza hilo mbele ya waandishi wa habari ikulu dare s salaam, katibuy mkuu kiongozi Balozi OMBEN SEFUE, amesema mawaziri hao wataapishwa kesho saa10 katika viwanja vya ikulu Dar es salaam.

Katika nafasi za mawaziri walijiuzulu na mmoja kufariki walijanza nafasi ni kama wafuatao;-
Wizara ya mambo ya ndani ni MATHIAS CHIKAWE naibu PELEILA SHILIMA, fedha ni SAADA MKUYA aliyekuwa naibu kwenye wizara hiyo, na naibu atakuwa MWIGULU NCHEMA, na ADAM MALIMA, maliasili na utalii ni LAZARO NYALANDU aliyekuwa naibu wa wizara hiyo, na naibu wake ni MAHMOUD HASSAN MGIMWA na mifugo na uvuvi anachukua TITUS MLENGEYA Kaman, naibu atakauwa KAIKA SANINGO PEREILA.

Ulinzi na jeshi la kujenga taifa Dk HUSEIN MWINYI.  


MWANA HARAKATI

No comments: