
Chini; Wananchi
wa mji wa Njombe na vitongoji wakiwa katika mkutano wa hadhara wa Operesehni
M4C Pamoja Daima, wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliofanyika
mjini Njombe jana.
Picha chini ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Cadema),
Dk. Willibrod Slaa akimnadi mgombea udiwani katika Kata ya Njombe Mjini kupitia
chama hicho, Agrey Mtamba, wakati wa mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C
Pamoja Daima, uliofanyika mjini Njombe jana.
MWANA HARAKATI
No comments:
Post a Comment