Kutokana na malalamiko hayo ambayo wananchi wanasema wakihoji wanaelezwa kuwa kila idara imetakiwa kujitegemea, hivyo wanaamini kuwa zimamoto wanatumia njia hiyo kujipatia fedha za kujitegemea bila kujua kama wanawaumiza wananchi.
Akizungumza na mwanaharakati, mkuu wa kituo cha zimamoto manispaa ya Bukoba Sajenti KISAKA, amesema fomu hiyo inatolewa kwa watu wanaokuwa wamekaguliwa na inabidi wailipie, lakini akaahidi kutoa elimu kuhusu fomu hiyo japo itakuwa ngumu wananchi kuielewa kwa watafundishwa kulipia bila kupata huduma.
MWANA HARAKATI
No comments:
Post a Comment