MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 16 February 2014

HATARI YA MAGUGU MAJI KIGONGO FERI

  
 Wiki hii tumetembelea eneo hi na kujionea magugu maji yametapakaa katika eneo hilo ambalo ni sehemu ya ziwa victoria, ambapo wafanyakazi wa vivuko vya MV SENGEREMA, na MV MISUNGWI, wamezungumza kwa taadhari ya kutokutajwa majina, lakini wakisema kuwa eneo hilo ni muhimu, hivyo mamlaka inatakiwa kuweka jitihada za kulitunza.
 Wamesema kwa siku wanaingiza kiasi kikubwa cha pesa na wakati huo eneo hilo linasaiaidia wananchi wengi wa kanda ya ziwa hivyo ni lazima fungu kubwa litumike kufanya matunzo ya maji ya eneo hilo.
Mwaka jana magugu maji yalionekana asubuhi yakiwa yametanda eneo zima la maji upande wa kutokea mwanza, ambapo huduma ilisitishwa kwa zaidi ya saa 48, ambapo wasafiri walikumbana na adha kubwa lakini hatahivyo walipata hasara ya kutoingiza chochote. alieleza mmoja wa watoza ushuru.
MWANA HARAKATI

No comments: