Mazishi hayo yatafanyika baada ya rais Kikwete kuwasili uwanja wa ndege Bukoba na kuelekea moja kwa moja Kiziba.
Tupo katika maandalizi ya kuelekea Bugandika Kiziba, katika mazishi ya Porfesa Kazaura huko wilayani Misenyi, lakini kwanza tutampokea rais ambaye wananchi wakiwamo viongozi mbalimbali wamejiandaa kumpokea.
MWANA HARAKATI
1 comment:
was he a professor? kweli ni profesa kazaura? ana doctorate?
Post a Comment