MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 1 March 2014

RAIS KIKWETE , LOWASA NA KATIBU MKUU EAC WAMZIKA BALOZI KAZAULA

Ni katika kijiji cha Igurugati Bugandika wilayani Misenyi.
                                            








 Picha chini ni mtoto wa marehemu Dk Kamugisha akisoma wasifu wa marehemu.
    Juu ni jeneza likishushwa kaburini, chini ni Rais Kikwete akiweka udongo kaburini.
                       








                         
 Naye mkuu wa mkoa wa Kagera kanali mstaafu Fabian Massawe alipata fursa ya kuweka udongo.


 Juu katikati ni mke wa marehemu Kazaura, na pembeni mwake ni watoto wake wa kike na mmoja wa wanafamilia, chini ni Baba askofu Kilaini akiweka msalaba mtakatifu kwenye kaburi.






















Picha juu ni Rais Kikwete akiweka SHADA la maua, na chini ni Baba askofu Kilaini akiweka shada la maua.




                                               

Juu ni Mh. Edward Lowasa na chini Baba Askofu Kilaini akiombea mwili ndani ya jeneza ukiwa juu ya kaburi.


Rais Kikwete akifuatilia kwa karibu kushoto kwake ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi na anafuatia Edward Lowasa, na mh mwenyekiti CCM mkoani Kagera Nyamwiza Buhie.


MWANA HARAKATI

No comments: