MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 26 February 2014

RAIS AFANYA UTEUZI IKULU


Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mheshimiwa JAKAYA MRISHO KIKWETE, amemteua bwana TOGOLAN I. MAVURA kuwa msaidizi wa rais (hotuba) kuanzia februari 8 mwaka huu 2014.
 
Taarifa iliyotolewa jana jumanne jijini da es salaam, na katibu kiongozi Balozi Omben Sefue,inasema kuwa bwana Mavura anachukua nafasi ya bwana Msafiri Marwa amabaye amehamishiwa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa na kupangiwa kazi nyingine.

Kabla ya uteuzi huo, bwana Mavura ambaye ni ofisa wa mambo ya nje alikuwa katibu wa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.

MWANA HARAKATI

No comments: