MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 8 February 2014

WALIMU NA WANAFUNZI WAJISAIDIA KATIKA MASHAMBA YA WATU KWA MIAKA 3

 Katika shule hiyo yenye madarasa la kwanza hadi la nne imekabiliwa na ukosefu wa choo kwa miaka 3, ambapo wanafunzi na walimu walikuwa wakijisaidia katika maeneo jirani kwenye mashamba ya watu.
 Wakati wa uzinduzi wa choo hiyo, Balozi Kagasheki amewataka wananchi kupaza sautu zao kwa viongozi, ili kero zao ziweze kutatuliwa, kuliko kukaa kimya na kuwata kuwaunga mkono viongozi wanaowapigania katika kuleta maendeleo.
 Picha juu ni Mbunge akikagua ndani ya choo hicho ambacho kimeanza kutumika, na chini ni shule ya msingi Kashabo ambayo ina jumla ya wanafunzi 402 hadi sasa.

Shule ya msingi Kashabo, ina walimu saba ambapo wawili wa kiume na watano wa kike na wanatumia chumba kimoja cha darasa ilihali wakikabiliwa na upungufu wa vyumba 3 vya madarasa na choo cha walimu.
MWANA HARAKATI

No comments: