MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 14 March 2014

BREACKING NEWS!!! BASI LA TUMBUKIA MTONI MAKETE

Taarifa zinasema kuwa basi la kampuni ya Japanese Express linalofanya safari zake kati ya Makete - Njombe, limetumbukia kwenye mto katika eneo la Lwamadovela wilayani Makete.

Basi hilo lilikuwa likitokea Njombe kuelekea Makete na ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 jioni kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo

Hatujapata taarifa za vifo lakini baadhi ya abiria waliojeruhiwa wamekimbizwa katika hospitali ya Ikonda Consolata

Taarifa kamili ya ajali hiyo pamoja na picha soon, endelea kufuatilia.
Na Mwanaharakati.

No comments: