MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 13 March 2014

SIKU YA FIGO DUNIANI; WAZIRI MKUU PINDA AWASIHI MADAKTARI NA WATALAAMU NCHINI KUENEZA UJUMBE WA FIGO NA MADHARA YAKE

1841 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Tovuti ya Taasisi ya Figo nchini baada ya kuhutubia katika  maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya figo kwenye viwanja wa Nyerere mjini Dodoma  Machi 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
1894 Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akizungumza  na watalaamu wa magonjwa ya figo katika maadhimisho  ya kilele cha wiki ya Afya  ya Figo, kwenye viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 13, 2014.

1924  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na baadhi ya viongozi baada ya kuhutubia  katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya  Figo kwneye  viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 13, 2014. Kushoto ni Naibu Waziri  wa Afya, Dr. Kebwe Stephen Kebwe na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mwanasheria Mkuu wa serikali na  Mwenyekiti wa Taasisi ya Taifa ya Figo, Jaji Frederick Werema. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Na Mwanaharakati.

No comments: