MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 27 March 2014

MKOA WA KAGERA WAZINDUA POWER TILLER KWA AJILI YA HALMASHAURI 6 ZA MKOA HUO

Waandishi wa habari wa msikiliza mtaalamu akitoa maelezo jinsi ya kutumia Power tiller hiyo ya kupandia mpunga.

Mkuu wa mkoa wa Kagera akiakagua moja ya Powertiller ya kulimia.

Mtaalamu akifa majaribio ya Power tiller hiyo.
Power tiller hizo zilizotolewa kupitia mradi wa DASIP tangu mwaka 2006, ni powertiller 1 kwa Ngara, biharamulo, Muleba na Misenyi, Rice planter kwa Muleba, Misenyi na Biharamulo, makasha ya kutunzia fedha zimetolewa 3 kila halmashauri za Bukoba, Ngara, Karagwe, Misenyi, Biharamulo na Muleba.

Hatahivyo imetolewa Kompyuta moja kila halmashauri zilizopata vifaa hivyo.

Na Mwanaharakati.

No comments: