| Ni baada ya uvamizi wa ndege ambao hawajafahamika jina kitaalamu, wanaokunya kinyesi chenye sumu. |
| Huyu ndiye ndege anayeogopwa. |
| Ni ndege na mazalio yao |
| Wataalamu na viongozi kutoka manispaa ya Bukoba wakishuka kwenye mitumbwi. |
| Huu ndiyo msafara wa viongozi na wataalamu waliowasili kisiwani Musira. |
| Afisa Tarafa ABDON KHAWA na mtaalamu kutoka wizara ya afya mwenye nguo ya blue Dk MUNDA ELIAS, akiwaeleza wananchi mikakati inayoanza kisiwani humo. |
| Mwakilishi wa mkurugenzi manispaa DIDAN SOMBE. |
| Wananchi wakisikiliza kwa makini |
| Huyui ndiye aliachwa kulenga shabaha ya kufukuza ndege hao. |
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment