MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 6 March 2014

UGONJWA HATARI KWA KINA DADA MULEBA KAGERA

 Akizungumza nami kutoka Muleba, muuguzi wa wilaya aliposema kuwa kujifungua huko chini ya umri, kunasababisha madhara makubwa kwao, kwasababu kizazi kinakuwa hakijakomaa na wakati huo wanapata changamoto ya malezi kutokana na mama za watoto kushindwa kuwalea kutokana na kujiuguza.
Ni muuguzi mkuu wilayani Muleba akizungumza na nami Mac Ngaiza.
Wakina mama wenye watoto wakionekana kwenye picha juu na chini.



 Kwa mujibu wa daktari wa wilaya JOSEPH KISALA hakuypo pichani, tatizo la kuolewa mapema linatokana na ukosefu wa elimu kwani watoto wengi hawaedi shule na hivyo kujikuta wakiolewa na vijana pia lakini wengine wanaolewa na watu wazima lakini pia mila potofu zinachangia.
Bado tunafuatilia kujua undani wa tatizo hili wilayani Muleba, katika kata za Bisheme na Mubunda.
Na Mwanaharakati.

No comments: