Pamoja na uzinduzi huo, makamu wa Rais Dk GHARIB BILAL, atafungua sherehe za maadhimisho ya siku ya akina mama duniani, itakayofanyika wilayani Muleba kimkoa.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Kagera, mkuu wa mkoa huo FABIAN MASSAWE, amesema kuwa makamu wa riais atawasili kesho mach 7 2014, na uzinduzi pamoja na sherehe vitafanyika 8 mach 2014 katika wilaya ya Muleba ambapo sherehe za akina mama duniani zitafanyika katika uwanja wa FATUMA.
Picha juu Rc Massawe akiongea na waandishi habari na chini ni waandishi habari wakisiliza kwa makini maneno ya mkuu wa mkona ambaye amesema kuwa leo naibu waziri wa afya atawasili mkoani Kagera.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment