![]() |
Daladala iliyogongana na Gari aina ya Nissani Hard Body muda mufi uliopita katika eneo la Suye barabara inayoelekea Moshono Mjini Arusha. |
Kutokana na ajali hiyo Dereva wa Nissan
alitaka kukimbia wananchi wakamzonga akatoa Bastola kuwafyatua kwa risasi ndipo
yakatokea machafuko yaliyosababisha barabara hiyo kufungwa kwa muda.
Taarifa zinasema kuwa dereva wa Nissan
alikuwa amelewa na kusababisha gari yake kuyumba na kugongana na Daladala, na
polisi walijitahidi kutuliza gahsia hiyo muda mfupi baada ya kuwasili kwao
katika eneo hilo na anashikiliwa na jeshi hilo.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment