MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 21 April 2014

NEWS ALERT!!! WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA WAOMBA MSAADA SERIKALINI



Wahanga wa mafuriko  Wilayani Kilombero mkoani Morogoro wameiomba serikali  kuwapatia  misaada mbalimbali ikiwemo ya chakula pamoja na  makazi .
 Wakizungumza na mtandao huu, wahanga wa mafuriko Wilayani humo wamesema wanaomba misaada ya chakula ili waweze kupambana na hali hiyo.





Kwa upande wake mkuu wa shule ya sekondari ya Tekfoti Mwl.Mohamed Majaliwa amesema kuna zaidi idadi ya kaya takribani ishirini ambao nyumba zao  zimeondolewa na  mafuriko .

Nae Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kilombero Bw Daudi Ligazio amesema kwasasa wana mpango wa kuweza kuwasaidia wahanga hususani katika msaada wa chakula .
 

Na Mwanaharakati.

No comments: