![]() |
Marehemu Chang'a enzi za uhai wake |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Bi Stella Manyanya. |
Kwa upande wake mtoto wa marehemu Bi Zainab Chang'a, amezungumza kwa niaba ya familia, kuwa wamepokea kifo cha baba yao kwa mstuko mkubwa, lakini hawana jinsi katika hilo, na kuwa wanaomba ndugu jamaa na marafiki kuiombea familia yao katika kipindi hiki kigumu, huku akisema kuwa baba yao hakuwa na kinyongo na watu.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment