MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 21 April 2014

BREAKING NEWS!!! WATU KADHAA WAFA KWA AJALI MKOANI SIMIYU

Taarifa zilizotufikia, zinasema kuwa ajali hiyo imetokea katika kijiji cha ITUMILA A wilayani Busega mkoani Simiyu, baada ya basi kuacha njia na kupinduka.
Inasemekana basi hilo lilikuwa likitokea Musoma kwenda Mwanza, na taarifa rasmi tutaendelea kukuletea.
Na Mwanaharakati.

No comments: